a
Kum 28:49
;
Hab 1:8
;
Isa 13:8
;
Yer 48:40-41
;
4:13
;
Hos 8:1
;
Nah 3:13
;
Mwa 36:33
Jeremiah 49:22
22
a
Tazama! Tai atapaa juu angani na kuruka chini kwa ghafula,
akitandaza mabawa yake juu ya Bosra.
Katika siku hiyo, mioyo ya mashujaa wa Edomu
itakuwa kama moyo wa mwanamke katika utungu wa kuzaa.
Copyright information for
SwhNEN